Klabu ya Barcelona imetoa picha za uwanja wake wa Nou Camp utakavyokuwa baada ya ukarabati na upanuzi utakaofanyika kuanzia 2017 na kuisha 2021. Uwanja huo wa Nou Camp unatarajiwa kubeba mpaka mashabiki 105,000, Nou Camp kwa sasa inabeba zaidi ya mashabiki 98,000.
Home / LA LIGA
/ Barca yatoa picha za uwanja wa Nou Camp utakavyokuwa baada ya kufanyiwa upanuzi na ukarabati.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment