 |
Roberto Carlos. |
Roberto Carlos anaamini kuwa
Cristiano Ronaldo ni moto wa kuotea mbali kuliko staa wa
FC Barcelona Lionel Messi.
Beki huyu wa kushoto wa
Brazil na
Real Madrid mwenye miaka
(41) sasa alifanikiwa kuichezea timu ya Real Madrid michezo
(527) kati ya mwaka
(1996-2007) ameonyesha kukoshwa na kiwango cha staa huyo wa timu yake ya zamani na kusema anaamini
Cristiano Ronaldo ni bora kuliko Muargentina
Lionel Messi.
.jpg) |
Cristiano Ronaldo |
.jpg) |
Lionel Messi |
Roberto Carlos alikaririwa akisema haya "
Cristiano Ronaldo anabakia kua mchezaji bora wa dunia na
Messi anaendelea kufanya vitu ambavyo watu wengine wameshindwa kuvifanya (
Cristiano Ronaldo remains the best in the world, and
Messi is doing what others have failed to do)", Pia aliuambia mtandao wa
Onda Cero kuwa "
Messi anavunja rekodi lakini
Ronaldo ni mchezaji mwenye maamuzi makubwa au lugha nyingine ni mchezaji aliyekamilika kuliko
Messi ( He is breaking records, but
Cristiano is more decisive than him)".
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment