![]() |
Jermain Defoe. |
Na kwingineko huko katika jiji la Manchester katika kambi ya Man City, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo na mchezaji wa zamani wa Arsenal, Samir Nasri ataukosa mpambano wa kukata na shoka hapo jumapili katika dimba la Etihad kutokana na maumivu ya misuli aliyoyapata katika mechi iliyopita walipocheza na everton na anategemewa kuwa nje kwa muda wa wiki tatu alieleza kocha wa Man City, Manuel Pellegrin na kusisitiza kuwa Vicent Kompany na Sergio Aguero watakuwa fiti kwa asilimia mia moja 100% kwa ajili ya mpambano huo.
0 comments:
Post a Comment