Mechi ya kirafiki kati ya Ufaransa na Uholanzi iliyopigwa jana iliiisha kwa wenyeji kufungwa mabao matatu kwa mbili huku mechi hiyo ikitawaliwa na shukrani za dhati kutoka kwa mashabiki kwenda kwa mpenzi wao aliyewatoka juzi marehemu Johan Cruyff. Mashabiki wa pande zote mbili walionekana kubeba mabango mbalimbali yakionyesha kuhuzunishwa kwao na kifo cha Cruyff.
Giroud , Griezman na Matuidi waizamisha Uholanzi.
-Mechi ya kirafiki kati ya Ufaransa na Uholanzi iliyopigwa jana iliiisha kwa wenyeji kufungwa mabao matatu kwa mbili huku mechi hiyo ikitawaliwa na shukrani za dhati kutoka kwa mashabiki kwenda kwa mpenzi wao aliyewatoka juzi marehemu Johan Cruyff. Mashabiki wa pande zote mbili walionekana kubeba mabango mbalimbali yakionyesha kuhuzunishwa kwao na kifo cha Cruyff.
0 comments:
Post a Comment